King’Ori | Community Knowledge Center
CKC King’Ori ni shirika la jamii ambalo linajihusisha na kutoa huduma mbalimbali kwenye jamii katika wilaya ya Arumeru.
Vituo vyetu viwili vya jamii vimeanzishwa kwa watu wa Arumeru ili kupata teknolojia ya habari na mawasiliano
HUDUMA NA GHARAMA
Kozi
0rodha ya kozi tunazotoa
- Kozi ya Kiingereza
- Kozi ya Kompyuta
- Kozi Maalum
Huduma
Orodha ya Huduma zitolewazo
- Kuchapisha na kutoa Nakala
- Kuskani na laminasheni
- Mtandao na Barua pepe
- Huduma ya picha za paspoti
Kukodisha
Orodha ya huduma za kukodisha
- Nyumba za Mikutano
- Mabweni
- Maeneo ya Kupiga Picha za Harusi